SALAMU ZA PONGEZI
Posted on: November 16th, 2025
Bodi ya ushauri, Menejimenti pamoja na Watumishi wote wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Songeatunakupongeza Mhe. Mohammed Mchengerwa kwa kuteuliwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Waziri wa Afya




